ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 26, 2012

TSC WAANDALIWA DINNER KUPONGEZWA KWA KUCHUKUA UBINGWA NCHINI UJERUMANI


Shaffih Dauda (mwenye miwani ) akiwa na baadhi ya wachezaji wa TSC Mwanza wakipa msosi. Hapa ilikuwa ni saa tatu usiku ya Ujerumani. Kwa wale wanaojua baadhi ya nchi za ulaya jua huwa linachelewa kuzama.


Wadau wakipata maakuli kwenye hafla hiyo waliyoandaliwa vijana wa TSC

Mara menyu mara kamera...

Misosi full draft

Huyu ndiye mpishi


Maakuli hayoooo -  kwa wengine ndiyo ikawa sehemu ya futari.


Mmoja wa makocha wa TSC akipata msosi


Hi...


M-m-m...


Frank Sekule akigonga menu

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.