ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 14, 2012

EPIQ BONGO STAR SEARCH INAENDELEA MCHANA HUU NDANI YA CCM KIRUMBA.....VIPAJI KIBAO VIMEJITOKEZA!!

Majaji wa Epiq Bongo Star Search, kutoka kushoto ni Master J, Madam Ritha na Salama Jabir katika usaili wa Mwanza, ndani ya uwanja wa CCM Kirumba

Mmoja wa washiriki wa Epiq Bongo star search akisailiwa Mwanza

Mshiriki wa BSS Mwanza akisailiwa

Mablogist wanaongoza Mwanza wakiwajibika kuwapasha habari blogers katika usaili wa BSS Mwanza ndani ya uwanja wa CCM Kirumba, Kutoka kulia ni Mukhsin Mambo (Mc Stopper) wa thebigtopten.blogspot.com na G Sengo wa gsengo.blogspot.com

Judges wa Epiq Bongo Star Search, Kutoka kulia Salama, Ritha, Master Jay
Foleni ya Vipaji vya BSS ikijiandaa kusailiwa ndani ya uwanja wa CCM Kirumba
Umati uliojitokeza wengine wakisuburi usaili wengine wasindikizaji ndani ya uwanja wa CCM Kirumba
Hili ni eneo la kujiandikisha

Washiriki waliojitokeza leo uwanja wa CCM Kirumba mchakato wa EBSS.

Mmoja au kadhaa kati ya hawa kuitwaa nafasi...

Subiri mpango mzima utaonekana sebuleni kwako .. Wataalamu wakiwa kazini kuzichukuwa engo kutoka kulia ni Nickson (mchanganya picha), Alex (director) na mtaalamu wa sauti Said.

Mtangazaji wa Barmedaz Tv Steve Bugumba akifanya mahojiano ya live na moja wa washiriki EBSS Mwanza. 

Picha ya pamoko Aloyce Nyanda aka Van B (C) akiwa na majaji wa EBSS Master Jay na Salama

Caesar Daniel wa Clouds Tv na Oficial Presenter wa Epic Bongo Star Search 2012 akiwa na Yusuph Mussa ambaye ni Cordinator kutoka Barmedaz Tv Mwanza akishow love na kamera ya blog ya G. Sengo

Vijana mbalimbali waliojitokeza leo wakiwa kwenye foleni kwaajili ya kuingia chumhga cha usaili kwenye uwanja CCM Kirumba jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.