ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, June 8, 2012

DIAMOND KESHATUA MWANZA KUZINDUA MAGIC LEO

Video at Mwanza Airport.

Diamond Platnum akiwa na densaz' wake hapa akizungumza na waandishi wa habari Mwanza mara baada ya kutua jijini humo kwa ajili ya kuwa sehemu ya burudani ya uzinduzi wa Radio Magic Fm Mwanza leo usiku ndani ya Villa Park.
"Mara baada ya kuipeperusha vyema bendera ta Tanzania ndani ya Big Brother Africa sasa niko Mwanza inshort nimepania kufanya kitu classic" asema.

Time to show love: Kutoka kushoto ni Producer Man Water aka Man Maji, G. Sengo, Muslim na Olest Kawau.

Crew.

Jikoni at Villa Park Mwanza kumepambwa na ma fish na minyamanyama namuna hii.

Wengine wakisubiri oda zao wengine saa mingi wako sahanini.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.