ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 17, 2012

TOWN STARS MABINGWA WA ESTER BULAYA CUP

Michuano ya Mbunge wa Viti maalum kupitia Umoja wa vijana CCM mkoani mara ESTHER BULAYA CUP imemalizika juzi ambapo michuano hiyo ilidumu kwa wiki mbili katika wilaya Bunda mkoani Mara, Katika michuano hiyo Mshindi alikuwa ni Town Star baada ya kuifunga timu ya Amani FC mabao 4-2 kwa mikwaju ya Penalti huku mshindi wa tatu Ikiwa Timu ya Polisi Fc.
Mbunge wa viti maalum kupitia Umoja wa vijana CCM mkoani Mara Ester Bulaya akikagua timu mabingwa Town Star kabla ya mchezo.

Mbunge wa viti maalum kupitia Umoja wa vijana CCM mkoani Mara Ester Bulaya akikagua timu mshindi wa pili Amani FC kabla ya mchezo.

Mashabiki wakisutumuka...

Mashabiki wa timu mabingwa wakimbeba shujaa wao.

Huyu ndiye kipa aliyekuwa mwiba katika fainali.

Katika michuano hiyo Mchezaji bora alikuwa Ramadhani Kifundu kutoka Aman Fc aliyepata zawadi ya shilingi ya shilingi 50,000/=

Katika michuano hiyo mabingwa Town Stars walipata zawadi ya shilingi 500,000/= na kombe.

Aman Fc wakaondoka na kitita cha shilingi 250,000/= Polisi Fc 150,000/= Mfungaji bora kutoka timu ya Balili fc 50,000/= Timu yenye nidhamu Mwembeni FC 50,000/=

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.