ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 3, 2012

SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI MEI 3, 2012 MWANZA

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo akihutubia waandishi wa habari waliohudhuria kwa wingi katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani ambapo kitaifa ilikuwa jijini Mwanza. 

Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Victoria Palace jijini Mwanza.

Wadau wa habari na maadhimisho ya siku yao. 

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Eng. Ernest Ndikilo amewaasa waandishi wa habari nchini kuzama vijijini na kuandika habari za maeneo hayo ili kuwakwamua wananchi wenye uhitaji kwani kwa kufanya hivyo watakuwa wameitendea haki tasnia yao. 

Mwanahabari mahiri Victor Maleko (mwenye kamera) naye hakukosa kusanyikoni. 

Mwenyekiti wa Mwanza Press Club (MPC) na mjumbe wa bodi ya UTPC Jimmy Luhende akitoa shukurani na yake machache ndani ya kusanyiko hilo la wandishi wa habari. 

Masuala mbalimbali yaliibuka na kujadiliwa ikiwa ni pamoja na suala la Muungano, Sheria kandamizi, Mchakato wa kuelekea kuundwa katiba mpya, Zoezi la Sensa linalokuja, Vyama vya siasa na Serikali pamoja na Kaziya uhuru wa vyombo vya habari kuhakikisha uwazi na utawala bora. 

MTC Executive Secretary Mr. Kajubi Mukajanga akitoa somo. 

Wito umetolewa kwa waandishi kutotumika kwa maslahi ya wachache wenye uroho, hali iliyoipeleka nchi kuwa na hali mbaya kama ilivyo sasa.

Je hadi leo, uhuru wa habari umewatendea haki kwa kiasi gani waandishi hawa? 

Mazungumzo kwa chati.... 

In deep... 

Mwanza imepokea wageni kutoka mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya Siku hii muhimu ya uhuru wa vyombo vya habari duniani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.