ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 16, 2012

MISS ILEMELA KUFANYIKA GOLD CREST HOTEL MWANZA TAREHE 25/05/212

Baadhi ya warembo watakao shiriki kinyang'anyiro cha miss Ilemela kinachotarajiwa kufanyika tarehe 26/05/2012 kwa mara ya kwanza katika ukumbi mkubwa wa GOLD CREST HOTEL jijini Mwanza.

Ni warembo wenye sifa zote stahiki.

Flash ya warembo Kinyang'anyiro cha Miss Ilemela 2012.
Mkao binafsi kwenye flash..

Pamoja na kuwa na kipaji cha shughuli za ulimbwende pia mrembo huyu yu mtangazaji wa kituo cha Tv Barmedas jijini Mwanza.

W0w...!

Kuna TATIZO...!!?

Nice & Cool..

Fresh...

Crazy..

Chain..
Hapa ndipo mahala mrembo wa Miss Ilemela atapatikana ... Some body ameuliza kuhusu burudani jibu ni kwamba Rais wa Masharobaro Bob Junior atakisanukisha usiku huo ile mmmmmwaaa!!!

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. More efforts needed on perfection of posures - entire body flexibility, confidence.

    Saeed.
    GR Coomunication

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.