ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 20, 2012

News breaking: 25 MAANDAMANO YA KUDAI HAKI YA MUUNGANO KATIKA KATIBA MPYA ZANZIBAR

HABARI za muda huu, zilizo nifikia zinadai kwamba kikundi cha Wanaharakati huko Zanzibar kinaongoza maandamano ya amani kwa ajili ya kudai haki ya Mzanzibar.
Lengo ni kushinikiza Baraza la Wawakilishi kuiagiza serikali kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano ipigwe ili uamuzi wake uingizwe kwenye katiba mpya.

Naendelea kufuatilia.
By Mdau wa Ukweli.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.