Mwandishi wa habari Hussein Mtanda aliyepata ajali hivi karibuni nakupoteza jicho lake la kushoto hatimaye leo karuhusiwa kutoka hospitalini ambako alikuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza, na yafuatayo ni maneno yake:-
"Jamani nashukuru kwa moyo wa pamoja mlio nionyesha kuanzia nilipo ugua mpaka sasa, kwakweli Mungu awabariki, ninavyozungumza niko nyumbani kwa mapumziko. AKSANTENI SANA"
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.