ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 26, 2012

NDOA YA MR&MRS E.KIMORI YAADHIMISHA MIAKA5

Ladies and Gentlemen Leo tarehe 26/04/2012 Mr&Mrs Emmanuel Kimori wa Mwanza Tanzania wanasherehekea miaka mitano ya ndoa yao yenye furaha, mapendo na amani tele.

 Ndoa hiyo Takatifu ilifungwa katika kanisa la ST ALBAN POSTA jijini Dar es salaam kisha Sherehe za kufana zikafanyika HURBERT KILATO hall kimara stop over.

Blogu hii ya jamii inawatakia kila la kheri wawili hawa katika maisha yao ya ndoa MWENYEZI MUNGU awabariki.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.