ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, February 12, 2012

WHITNEY HOUSTON HATUNAYE TENA

Mwanamuziki mashuhuri wa Marekani Whitney Houston amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 48, kwa mujibu wa Kristen Foster, mwandishi wake wa habari.

Kwa mujibu wa CNN, Houston alitangazwa kuaga dunia majira ya saa 3:55 p.m. PT at the Beverly Hilton Hotel. Sababu za kifo chake bado hazifahamiki, lakini kuna uvumi mkubwa ulioenea ukisema kuwa ni baada ya kubwia kiwango kikubwa cha madawa ya kulevya.

Akiwa mmoja wa wanamuziki wenye mafanikio makubwa duniani, pia aliwahi kuwa mcheza filamu, katika michezo kama vile The Bodyguard na Waiting to Exhale.

Whitney´s Houston Last Song Video (Final Performance) Fani yake iliwahi kuzongwa na matumizi ya dawa za kulevya na maisha yake yenye matatizo katika ndoa na msanii Bobby Brown.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.