ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, February 29, 2012

SIZ KITAA YAMALIZA ZIARA YAKE ROCK CITY SASA SUBIRI MZIGO HEWANI.......

Castor Dickson aka Mwananchi wa kawaida ambaye ni presenter wa program ya SIZ KITAA inayorushwa na CLOUDS TV akifanya kipindi pembezoni mwa mti wa kumbukumbu ambao ulikuwa ukitumika kunyongea watu enzi za ukoloni.

Hapa SIZ KITAA ilikuwa na Mwenyekiti wa Mwanza Kwanza Philbert Kabago ambaye pia ni presenter wa Michano time katika Radio Passion Fm.

Topix...

Kuna mengi mazuri yameonekana na kuzungumzwa na SIZ KITAA toka wadau wa Rock City hadi safari ilipofika tamati, so kufaidi yote mazuri 'Tega jicho' kwa liprogram la SIZ KITAA kila siku saa moja na robo CLOUDS TV....Walaaaa!!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.