ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 11, 2012

'RED IN LADY' RELOADED 2012 YAKWEA CHATI

Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Mama wa mitindo Asia Idarous Khamsin akiwakaribisha wageni katika onyesho hilo lililofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo palichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.

Jokate Mwegelo ambaye alikuwa ni mc wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012, katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo pamlichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.

Mambo hayooooo, mwanadada ambaye alipanda katika ufunguzi.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Chiddy Benzi akiwasha moto.

Chiddy Benzi on the stage.

Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 (wa kwanza kulia) Mama wa mtindo Asia Idarous Khamsin akiwa na mumewe Mzee Khamsin katika onyesho hilo lililofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Katika onyesho hilo pamlichangishwa fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya nchini Tanzania ambacho kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani.

Ehe! umeona mbao hayo...

Safi, (kulia) mbunifu wa mavazi akiwa na mwanamitindo wake.

Mbunifu chipukizi akiwa na mwanamitindo wake.

Haya sasa, unalo la kusema...'Lady In Lady' Reloaded 2012.

Mambo ya harusi... mpo...

'Lady in Red' Reloaded 2012 liliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

Wabunifu wachanga walionyesha mambo yao.

Ehe! mambo ya kizamani... kitu cha kaptula

Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.