ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, February 23, 2012

ALIYEKUWA KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA BLANDINA NYONI AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI

Pichani kushoto ni marehemu bibi Ester Nyimbo Badi.
Kupitia matangazo ya vifo ya moja ya vituo hapa nchini taarifa zimesikika kuwa aliyekuwa katibu mkuu wizara ya afya Blandina Nyoni amefiwa na mama yake mzazi .

Sababu ya kifo cha mama huyo ni matatizo ya msukumo wa damu BP 'blood pressure'.

Blandina Nyoni pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Deo Mtasiwa hivi karibuni walisimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mh.Mizengo Pinda kutokana na kuonekana kuwa wao ndio kiini cha mgogoro wa madaktari ulioibuka na kumalizika hivi karibuni ambao ulisababisha matatizo makubwa kwa Taifa na kuigharimu nchi.

RIP BIBI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.