ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 3, 2012

WAWILI WAFARIKI LEO AJALI YA BASI MOROGORO

Ajali mbaya ya basi la Upendo Coach imeripotiwa kutokea leo mkoani Morogoro na kusababisha vifo vya watu WAWILI papo hapo na ZAIDI ya abiria 23 kujeruhiwa,

Kwa mujibu wa moja wa manusura wa ajali hiyo bw. Stanley Amanzi aliyehojiwa na Radio ya watu Clouds Fm majira ya alasili wakati akielekea hospitali ya mkoa wa Morogoro kupatiwa matibabu, amesimulia kuwa akiwa ndani ya basi hilo roli lilitokea upande wa pili likiovateki bila kuchukuwa tahadhari nalo basi lao likiwa katika mwendo kasi ilibidi kujinusuru kukwepa roli hilo kugongana uso kwa uso kwa dereva kukimbilia pembezoni mwa barabara hali iliyopelekea basi hilo kukosa uelekeo na kupinduka.

Taarifa hii imefanyiwa masahihisho…..

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.