ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, January 24, 2012

MWANZA KWANZA WAFANYA ONYESHO MAALUM STONE CLUB KUMUENZI MSANII MWENZAO MO-CHELA

Afisa Utumishi wa Kampuni ya Sahara Media Group Raphael Shilatu ambaye alikubali kuwa mlezi wa Mwanza Kwanza hapa akitoa Speach, pembeni ni Mwenyekiti wa Mwanza kwanza Philbert kabago ambaye ni myangazaji wa Passion Fm.

Baba mdogo wa marehemu (L) akiwa na baba mkubwa wa marehemu (R) wakitoa shukurani kwa tukio hilo.

Member wa 'Swagga Maker' hili ni kundi ambalo marehemu Mo-Chella alilitumikia enzi za uhai wake hapa ni katika dakika moja ya ukimya.

Kutoka kushoto ni Sisar Madini, Mox Wanted, G.Ricko, na Shebby.

The area A'

Dj Ally B. akitoa mchango kwenye box la mchango wa ziada ambao ulijumuishwa na pato lililopatikana mlangoni nalo linatazamiwa kuwasilishwa kwa mama mzazi siku ya Ijumaa huko Ukerewe.

The area B'

Mkali anayekuja kwa kasi bongo flevani Sajna akishow love kwenye tukio hilo la kumbukumbu.

Dogo Baraka (L) akiwa na T.Nock wakikamua songi jipyaaaa.

Ezden The Roca wa Kiss Fm 'oN zE wILz zA sTeel.

Sissar madini akiimba kwa hisia wimbo maalum.

The area C' aka Centre.

Dj. Ally Coco n Dj.Abuu wa Metro Disco Musoma wakipata flash....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.