Bondia Rashidi Matumla (kulia) akioneshana ufundi wa kutupa masubwi na Mohamedi Matumla wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano na bondia Maneno Osward Desemba 25 katika ukumbi wa Henlken Kijichi Dar es salaam.
Ngumi ndonga masubwi mwanzo mwisho.
Rashidi Matumla akiruka Kamba katika Kambi yake ya Mazoezi iliyopo Keko Dar es salaam leo.
Rashidi Matumla 'Mtoa Sumu' akipiga panch Bang wakati wa mazoezi yake kabla ya kumkabili bondia maneno Osward Desemba 25.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
MSIZIFANYIE ‘’LAMINATION’’ HATI MILKI ZA ARDHI-MHANDISI SANGA
-
Na *Munir Shemweta, CHALINZE*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi
Anthony Sanga amesema Hati miliki za Ardhi zinazotole...
58 minutes ago