ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, December 2, 2011

MANAMUZIKI 'MR. EBBO' KAFARIKI DUNIA USIKU WA KUAMKIA LEO

Marehemu Abbel Olemotika 'Mr .Ebbo' enzi za uhai wake amefariki dunia alfajiri ya leo Jijini Arusha.
Ni kwa mujibu wa Radio one kumepambazuka leo asubuhi.
Habari zikimtaja mwanamuziki huyo maarufu ambaye vilevile alikuwa ni mtayarishaji wa muziki aka producer kupitia Recoding label ya MOTIKA RECORDS, Mr ebbo amefariki dunia.

Mr Ebbo aliyefahamika sana kwa nyimbo ya Mi Mmasai bwana, Ganja bana na Kamongo(kideoni) umemfanya nini pegere. Amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa kipindi kirefu tangu alipokuwa mkoani Tanga ambako ndiko alikuwa akiishi pamoja na familia yake. Taarifa zaidi tutaendelea kuziwasilisha kupitia Blogu hii.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.