“Ni suala la maadili na ujumla wake, maadili yanapimwa na nini? Maadili yanapimwa na imani ya Chama Cha mapinduzi, ukiapa kule nyuma unasema ‘Rushwa ni adui wa haki sitapokea wala kutoa rushwa, Cheo ni dhamana sito tumia cheo changu wala cha mwingine..’ Kwa hiyo siyo suala la Nape wala la nani, hili ni suala la Chama, Nape atakufa yatabaki haya"
"Yamekuwepo mimi sijazaliwa, nimezaliwa nimeyakuta, nitayasimamia nitaondoka nitayaacha……”
“Sasa tukimaliza huku tutaelekeza nguvu zetu Serikalini ambako nako kuna watu ambao hawafanyi sawa…..”
Tupe maoni yako
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.