ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, October 10, 2011

UWT NYAMANORO MWANZA WAZINDUA MFUKO WA KUWEKA NA KUKOPA.

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Bw. Clement Mabina akizindua katiba ya UWT mfuko wa kuweka na kukopa katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa PK jijini Mwanza.

Katiba tuliyoizindua ndiyo hii..

Mh. Mabina akisoma muhtasari wa baadhi ya vipengere vilivyomo kwenye katiba.

Katibu msaidizi wa UWT Mwanza akisoma taarifa fupi kuhusu azimio la mfuko huo.

Katibu wa CCM kata ya Nyamanoro Bw. Mtoro akikabidhisha mchango wake na wadau wa idara yake kuuboresha mfuko wa UWT Nyamanoro Mwanza.

Kupitia mfuko huo akinamama watakuwa na uwezo wa kukopa kwa riba nafuu hivyo kuweza kujikwamua na harakati za maendeleo na umasikini zinazowakabili.

Hongera akinamama kwani Kupitia vikundi kama hivi mtakuwa mnajitengenezea njia kupata unafuu wa mikopo toka kwa asasi nyingine za kifedha hivyo kuboresha mifuko yenu ya kukopeshana kwa maendeleo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.