ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, October 12, 2011

KESI YA KUPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI WILAYA YA ILEMELA MWANZA KUUNGURUMA OCT 17.

Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimbo la Ilemela ambayo yalimpa ushindi mbunge Highness Samson (CHADEMA) dhidi ya Anthony Diallo (CCM), itaanza kuunguruma Oktoba 17 mwaka huu (2011).

Hadi kufikia Desemba 10, mwaka jana (ikiwa ni miezi miwili baada ya uchaguzi), kesi 43 zilikuwa zimefunguliwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda za Mbeya, Dar es Salaam, Sumbawanga, Dodoma, Moshi, Tabora, Mwanza, Bukoba, Iringa, Mtwara na Arusha.

Tukutane siku ya kesi wapendwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.