ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, September 14, 2011

USAIN BOLT AVUNJA REKODI YA DUNIA ALIYOIWEKA

KUTOKA HUKO Zagreb, Croatia: Usain Bolt amefanikiwa kuvunja rekodi yake aliyoiweka kwenye mbio za mita 100 tangu alipowekwa kando kwenye michuano ya dunia iliyopita mara baada ya kukosa sifa na safari hii akishinda kwa kutumia sekunde 9.85 kwenye michuano ya dunia iliyofanyika jana mjini Zagreb. Bolt, who false-started in South Korea last month to end his hopes of retaining his world title, shaved 0.03 seconds off his previous fastest time this year — 9.88 at Monaco in June — on a warm, still night.

"It was a poor start," said Bolt, the world and Olympic record holder. "I kind of lost concentration and just went through the line. It was OK, I suppose, but I could have done better, especially with the weather like that."

Kim Collins of Saint Kitts and Nevis ran a season-best 10.01 seconds to finish second, ahead of Trinidad's Richard Thompson at 10.03.

There was standing room only at the 61st Boris Hanzekovic Memorial, where Real Madrid President Florentino Perez and club official Emilio Butragueno arrived in time to see Bolt run. Madrid leo jumatano inaanza kampeni yake katika Ligi ya Mabingwa dhidi ya Dinamo Zagreb.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.