ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 13, 2011

LINAPOKUJA SUALA LA NYWELE BANDIA - MWANAWANE WE UNASIMAMA WAPI?

Kupitia mtandao tulikuwa tukijadili suala la nywele kuweka dawa, nywele bandia na nakshi mbalimbali, 'SITAKI KUONGEZA CHUMVI' kazi kwako:- @Kama nimemwelewa vile boss, yeye anapenda nywele asilia na si za kuungaunga [ziwe na relaxer, curl au hata fupi]... i like the same, yaani mimi criteria ya kwanza ya kukimbia bibi ni nywele za kuunga au kushonea.
1. kwanza ukishika kichwa kinakua kama kina manundu nundu
2. pili most of them zinakua tofauti sana na original kiasi kwamba ukiangalia nyuma ya kichwa unakutana na kipilipili against indian hair za mbele [tetracycline!]
3. tatu wanawake wengi sana huonekana more cute wakinyoa nywele zao ila hawajui tu

big up to all women with their natural hair and no sugar added!!!

@Mwanamke wig bwanaaa....tena siku hizi kuna hizo wanaita lace wigs, shurti unatoka kama Beyonce banaa!mnh usuke mabutu utoke kama mrs Lawino, inahusuuuuu acheni kuwa conservative.

@Waache wachome mahindi Fab that doesnt stop us from looking fabulous wit 'fake' hair (lol)
I do keep mine clean though....tena kwa manufaa yangu binafsi!!!
Fab unajua kunayale feki na mengine orijino? feki bana mtu ni kama kasukia katani kichwani lol!!!!!!!!!!!!

@Nijuavyo mimi nywele za bandia ni kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa nywele za kichwani, mfano kuna watu wengine hawana nywele kichwani sehemu zote.
Hawa watu huwa wameliwa nywele kwa maradhi au kwa kuzaliwa hivyo hivyo pia kwa warembo wanaotaka kuonekana zaidi ya mungu alivyowaumba.
Usafi wake ni jukumu la mtumiaji.
Asanteni

@Halafu haya manywele ya bandia kama mtumiaji siyo msafi, huwa yananuka kweli kweli. Siku hizi wanawake wetu wanashindana kubandika manywele ya bandia ili wawe na nywele ndefu zilizodondokea mgongoni... but wapo watu,mimi nikiwemo huwa napenda kuona mwanamke akitoka na nywele zake fupi na kazisuka mitindo ya enzi na enzi.....very beautifull

@Mwana umegonga kunako, siku moja nusura nitapike katika daladala tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwangu, balaa mazeee!!
Jibu—“hahaha pole nadhani hiyo ilikuwa zazuuuuuu..”

@Lol....hivi bado watu wanaweka zazuuuu? Halafu kwanza zazuuu ni nini? inafanya nywele ziweje? nakumbuka miaka ya 80 zazuu ilikuwa kwenye chati sana...
Halafu nyie mnasahau how difficult to maintain that naturale hair...

@Is it easy to maintain fake hair? C'mon on now....just a few days ago this one girl told me she wants to workout so she can tone (whatever that is) but she doesn't want to sweat coz that's gonna mess up her hair... I think every week or every other week she goes to get her hair done (and yes it's treated with a whole bunch of chemicals)....so how easy is that?
Its easy to maintain natural hair shem.....compared to 'fake' hair

@Nywele za bandia zenyewe ni ghali na matunzo ni ghali pia, na zinakufanya mtumwa wake kweli kama hapo kwenye red. (binafsi nimuathirika wa hilo...siendi swimming nikiwa na fake hair) kwa wale wanaosema zinanuka, si kweli hata natural hair inanuka kama haisafishwi. Nywele bwana zinahitaji usafi wa hali ya juu usijindanganye eti hiz ni asili so sioshi mpaka miezi sita maana zita'shrink'

@Mimi nikimmega dem huwa napenda kushikilia nywele zake, dem akiwa na bandia utaona ananikataza nisishike, kuna dem mmoja alijisahau...nywele zilitoka zikabaki mikononi kwangu....nilimuona mbaya ajabu… dah! Ilikuwa noma lakini ilitokea nikajikaza kisabuni…

@Dada Mmoja akiwa na nywele zake bandia huku aki drive kwa manjonjo na minato kama anapark vile pale kitaani kwetu akatoa kichwa dirishani…. Mama yangu wigi silikaenda na upepo…. Mtumeeee!!! Dada ana bonge la kipara yaaani full udang’a …tehe..tihi!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.