ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, September 27, 2011

FAIR PLAY.COM JKT OLJORO YALAMBA POINTI ZOTE LAKE VICTORIA.

Mshambuliaji wa timu ya Toto Africans ya jijini Mwanza akisaidiana na daktari wa timu ya JKT Oljoro kubeba machela kumtoa mchezaji wa JKT Oljoro nje ya uwanja kupata matibabu katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliopigwa dimba la CCM Kirumba.

Majeruhi akiwa tayari amefikishwa nje na soka liendelee.

JKT Oljoro.
Ikiwa ni mchezo wa kwanza kwa timu ya Toto kufungwa nyumbani. Goli la kwanza la JKT Oljoro lilipatikana dakika ya 6 mfungaji Sunday Mussa baada ya kupokea pasi toka safi yake Paul Nonde, mfungaji alipiga shuti katikati ya mabeki wa toto Laban Kandole na Ladislaus Mbogo lililomshinda kipa wa toto. Goli la pili lilifungwa na Karage Ngunda. Mwisho JKT Oljoro 2 Toto 0.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.