ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 29, 2011

DIAMOND, H BABA, DJ CHOKA, DJ MAKEY, GADNA MIMI NA WEWE KUZINDUA NEW STONE CLUB MWANZA IJUMAA HII YA 30.sept.2011

Ile Club maarufu jijini Mwanza, Stone.....baada ya kufungwa miezi kadhaa ambapo ngoma zikivurumishwa katika mjengo wa Mwanza Hotel, Sasa club hiyo mara vuuup!... kisha Bwaaa!!! Ndani ya Eneo Jingine Jipyaaaaa!! Tivol Opoziti na Nyamagana Stadium.

Ijumaa hii ndo mpango mzima.

Ukisha kata tiketi yako basi unakibali cha kula good time.

Sasa unaingia New Stone Club.

Kuchimba dawa: Lady's First...

Kuchimba dawa: Wavuvi Mupooooo!!!!


Ze Dansing Flow.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.