ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 23, 2011

SIKIA HII>>>>


Millard Ayo kanitumishia ujumba anaronga hivi:-

"Nilifanya interview saa nne na dakika 40 USIKU na familia ya aliyekua mchezaji wa AFRICAN LYON, Yusuf Soka ambae anadaiwa KUZAMIA nchini SWEDEN baada ya kwenda kujaribiwa kucheza soka la KULIPWA, katika picha nikiwa na wajomba zake pamoja na mama yake mzazi. vyombo vya habari vimekua vikiripoti HABARI ZA KUZAMIA kwake na HAJULIKANI ALIKO, sasa familia imezungumza. tukutane sa1 usiku - 3 kwenye AMPPLIFAYA on CLOUD'S FM"

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.