Leo ni siku ya kumbukumbu kwenye familia ya Mzee Kubanda na familia ya wana Mwanza-Mwanza hali kadhalika familia ya wapenda Hip hop wanaharakati nchini kote hata nje ya mipaka pia, kwaaaanii.. Fid Q aka 'Ngosha' siku ya leo asherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Blogu ya G.SENGO yasemaaaa:- A birthday is just the first day of another 365-day journey around the sun. Enjoy the trip 'Hommie'...
JAWITAH i think you know warra i meen...
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
4 hours ago
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.