ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 23, 2011

KUMBUKUMBU

Edward Joseph Magongo (1977 – 1992)
Ilikuwa siku, wiki, mwezi na leo tarehe 24/08/2011 ni miaka kumi na tisa tangu ututoke na kurejea kwenye makazi ya usalama.

Tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi.

Unakumbukwa sana na wazazi wako Joseph na Clementina Magongo, Dada, kaka, wadogo zako, mashemeji, wajomba, ndugu jamaa na marafiki.

Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani.

AMINA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.