ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 16, 2011

HAPA NA PALE PANDE HIII!!

Kitanda full na godoro lake, tuna hama mchana kweupeeee...!

Kunako barabara ya halmashauri ya jiji mjengo Umekamilika, wapangaji tayari wamekwisha anza kuhamia.

Mjengo unakwenda kwa jina la.....

Mara baada ya kupigwa marufuku kwa Express kusimamisha au kupakia abiria kwenye kituo cha Chai bora mataa, Kituo hiki cha daladala kilichopo karibu na soko kuu kilianza kutumika huku matengenezo yake yakifanyika kimtindo papo hapo..

Ofisi za Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa wa Mwanza (MWAUWASA).

Barabara yenye mishemishe ya Lumumba kama inavyoonekana leo..

Tupe maoni yako

1 comments:

  1. mwanangu pls endelea kutuletea taswira kama hizi. thx

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.