ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 20, 2011

HARUSI HARUSI... NI ISAAC NA JANET

Si wawili tena bali ni mwili mmoja Isaac Abraham Nyanda na Janet Jilungu Yemba sasa ni Mr&Mrs Isaac Nyanda mara baada ya ndoa yao takatifu iliyofungwa leo katika kanisa la AIC Njiro mkoani Arusha.

Maadhari tulivu kanisani.

Sehemu umma waliohudhuria ibada hiyo ya ndoa.

Isaac akimvisha pete Janet.

Janet akimvisha pete Isaac.

Sahihi ya bwana harusi.

Sahihi ya bi harusi.

Maharusi wakitoka kanisani.

Taswira zaidi.

Wanameremetajeeeee!!!!!

Safu ya wapambe.

Mara nkabaaaaa!!! Ukumbini.

Moja kati ya burudani za ukumbini zilizotikisa ile kinomanoma chekshia...hapa ni Mama Paul na Jeremiah.

Jografia ya ukumbi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.