ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 1, 2011

FIESTA MUSOMA USIKU HUU NDO HAYA...!!!

Adam Mchomvu aka Baba Jonii, ni Fiesta 2011 ndani ya uwanja wa Karume Musoma mjini, watu wamejitokeza vya kutosha, swagga zimetyuniwa vya kutosha wazawa na wageni wamependeza ile kinowma yaani safiii.


Ngosha The Swagga Don amepiga show ya ukweli si kitoto..

Sajna wa Iveta

Kwa afya zetu.com sekta ilikamilika.

Ni nani huyu aliyebahatika kucheza na mwanadada Dayna?

Kutoka mkoani morogoro naikiwa ni mara yake ya kwanza kupiga show kwa wakazi wa Mara msanii Linex, alipata shangwe za kutosha kiasi cha kuurudia mara mbili wimbo wake wenye kibwagizo 'Kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma..'

Si hip hop pekee bali hata Dansi za kiafrika Sheta anazimudu kinomanoma.

SWALI: "Oyaaaah! mbona wajisachi hivyo?"
JIBU: "Sasa we-weeee, unataka nikusachi wewe..?"


Kutoka shoto Dj Abuu, Dj Haruna, Dj Mully B na Dj White.

Chege na Temba na makamuzi ya kufufuka mtu!!

Siyo chini ya ulinzi bali ni Burudani tu mwakwetu! Hapa wazeeyah.. walikuwa wakicheza mapanga ya Wanaume TMK.

Hey out there!!

Mavijana ya kazi Lusajo, Jurnior na Pacha .

Roma alizioga shangwe...!!

Usafiri tegemeo usiku huu...

Mwanadada Mwasiti na vipaji vya ku-dance...

Tuite- Mwasiti Dance la Musoma.

MUSOMA HAINA MAJOTRO' MUSOMA MMETISHAAAAAaaaaaaa!!!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.