ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Sunday, July 17, 2011

ARUSHA SERENGETI FIESTA NI KUCHA & KUCHWA

Hawa ni wasanii wa Arusha ambao wameonekana kufanya vizuri sana katika tamasha la Serengeti Fiesta 2011 ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha LEO.

Wakazi wa jijini Arusha ambao wamejitokeza katika tamasha Serengeti Fiesta 2011.

Mchizan Diamond kufunika jadi yake...!!

Mkali mpya kwenye sanaa mwanada-da-da Recho..

Tamasha hili la Serengeti Fiesta 2011 lilifanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid, ni mara ya kwanza kwa tamasha hilo kufanyika uwanjani na kuhudhuriwa na watu kibao kutoka pande za mji wa Arusha.

picha zote na blogu ya KAJUNA

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.