ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, June 29, 2011

MUSOMA KWELI HAINA MAJOTROooooo!!!

Tumepata fursa ya kuitembelea Victoria Fm 90.6 na kugawa mizawadi ya msimu wa dhahabu ambayo pia kupitia redio hiyo yalikuwa yakimwagwa! siunajuwa tena' toka shoto Dj Lima, Adam mchomvu na Hosti wa kipindi husika (Ladha kamili) presenta John Mponeja.

Zamani mtu mzima nshatinga pande za Mara.

Kibao elekezi..

Kumuona babu''

Adam mchomvu akisema na wakazi wa maeneo ya stendi ya zamani iliyokatikati ya mji wa Musoma mkoani Mara, ambapo mizawadi ya msimu husika ilitolewa.

Sahihi zikiangukwa Eneo la Nyakato kwa saa nane, madereva wa pikipiki walizawadiwa mafuta kwaajili ya vyombo vyao vya usafiri, wengine wakitunukishwa tiket kuhudhuria Fiesta Musoma ijumaa hii tarehe 1july2011.

Sahihi kitabu cha dhahabu zilimwagwa vya kutosha na wakazi wa Musoma.
Makaribisho ndani ya mji wa Musoma tumekutana pia na mwenyeji wetu Dj Abuu na Musoma' ambaye ile vile alihudhuria Fiesta ya Kwanza Mwanza akitupa ushirikiano kiwango kikuu!!

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.