ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 30, 2011

MUSOMA KUMEKUCHA BANA.....!!

Mmechisho!

Kutoka shoto ni mwana hip hop toka A.Town JCB mzee wa ukisikia Paaah! ambaye tayari keshatua Musoma kwaajili ya Fiesta akiwa na Baba Jonii na washikaji hapa wakidariz pande za Tembo beach jioni ya leo.

KIKAZI ZAIDI ni Mully B, Mblogishaji maarufu Kajuna Son na Lusajo wakihakikisha taarifa za Serengeti Fiesta 2011 Musoma zinasambaa kote Dunia.

Msonge bar iliyopo mkabala na Mativilla Garden, barabara ya Kennedy mjini Musoma, Panachomwa kuku hapa na michemsho ndo usiseme...

Mezani na wana Musoma... Kutoka shoto Abbas Chamba, Sanjey, Hamit, Anwar, Jaggler, G. sengo, Zuberi wa Serengeti na Mdau kiongozi Musoma Dick Nyongo

Tupe maoni yako

2 comments:

Note: Only a member of this blog may post a comment.