ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, June 9, 2011

KASHFA YA MALAVIDAVI ILIYOMKUMBA MBUNGE KAMBI YA OBAMA.

Anaitwa Anthony Weiner,ni representative aka mbunge wa chama cha Mr Obama hukoo unyamwezini. Huyu mbunge baada suala la Osama kuuawa hivi karibuni kwa sasa ndio anashikilia vichwaa vya habari na mabreking nyuzi huko huko Obama bay(marekani). Juzi kati amekumbwa na kisanga cha ufuska baada ya kugundulika kupitia ma-facebook na ma-twitter kuwa alikuwa akimmuvuzishia binti mmoja kigori wa chuo kimoja mapicha ya ngono yenye kutia hamasa. Mtoni nako kama bongo tu, wambeya, wanafki, vishanshuda si wakazikamata bwana hizo picha!? ikawa noma kwenda mbele hadi sasa! Sasa kazi kwenu nyie wapenzi wa mafacebook na matwitter yenu....

''Bado kidogo tu ningekuwa nimejazia kama Rambo ama anodi shozniga'', of coz kwa kifua hiki ntakutuliza..teh teh teh. Ndivyo kichwani alichokuwa akiwaza bwana Weiner kabla hajazisongesha picha zake kwa mdafada Gennette.

Chunguza mjomba utabaini' Ichekshie vizuri hii pic,: Ni boxer nyeupe iliyo kwenye bodi ya Gavana huyo, huku ze@#$%^&*@ dot jogoo.maungo ni kokolikooooo mbaya. Hiyo ndio kazi ya kujifotoa aliyokuwa akiifanya mbunge Weiner akiwa chumbani kwake. Sijui alikuwa akimvizia mkewe akiwa anaoga bafuni ndo anafanya huu usanii? Sijui''

''Kwa jina naitwa Gennette Cordova, nasoma katika chuo cha Seattle college, ile mipicha ya mbunge yuko kifua wazi pamoja na ile amevaa kile ki-boxer ndani yake nanihiiii #@%%#@ inaonekana ndio zilikuwa zinakuja kwangu, najuuuuuta kumfahamu mbunge Weiner''.










Huma Abedin, (pichani kulia) ndiye mke wa mbunge Anthony Weiner. Huyu mama sio tu kwamba ni msomi bali bata lake ni noomaaa, kwa taarifa yako huyu mama ni mmoja wa wasaidizi wa juu sana wa Hillary Clinton ambaye ni secretary of state huko mbelembele.

kwa msaada wa Bongo shega

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.