ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 14, 2011

NAWAOMBA RADHI WASOMAJI WANGU.

Habari zenyu wasomaji wa blog ya G Sengo.

Napenda kuwaomba radhi kwa matatizo ambayo yametokea ya kufutika kwa post zote nilizoziweka tarehe 12 na 13 kwa siku nzima ya jana, na hata kushindikana kutundika habari yoyote mtandaoni kwa siku nzima.

Tatizo kubwa lililosababisha kutokea kwa yote hayo ni suala la marekebisho yaliyokuwa yakifanywa na wenzetu wa google.com ambao wao ndiyo wanatupa huduma hii.


NAO WALITUPA TAARIFA KAMA IFUATAVYO:-
Blogger Status
Friday, May 13, 2011
To get Blogger back to normal, all posts since 7:37am PDT on Weds, 5/11 have been temporarily removed. We expect everything to be back to normal soon. Sorry for the delay.
Posted by at 04:25 PDT


Asante sana,
Imetolewa na Albert G.Sengo.
Mmiliki wa: www.gsengo.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.