ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, May 18, 2011

HII NDIYO GHANDHI HALL MWANZA

Mahatma Gandhi (Mohands Garamchand Gandhi) Saint and Philosopher Prophet ao non violence father of the indian nation.

Mahatma Gandhi memorial hall Mwanza.

The foundation stone of this hall was laid on Wednesday 15 AUGUST 1951 (India Independence day) By Mrs. Gladys Ether Rowe wife of the provincial Commissioner and the opening ceremony was performed by his Excellency sir Edward Twining, K.C.M.G..M.B.E., on Sunday September 7 1952.

Gandhi Hall Mwanza
Kama unavyoona ni jengo lenye historia lililomilikishwa kwa halmashauri ya jiji la Mwanza, hivyo ndiyo wanao lisimamia, lakini kama ilivyoada kwa sisi watanzania - pamoja na jengo hili kuzalisha kupitia ukumbi wake kodishwa kwa wastani wa siku 3 kwa wiki, Jengo hili Kama limesahaulika vileeeee!!!...

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.