ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, March 10, 2011

ELIMU.....

Kuoga humo humo, kufua humo humo, kujisaidia humo humo, kunyweshea mifugo humo humo, kuoshea vyombo humo humo na hata maji kwa matumizi ya nyumbani, kisha maji hayo yatiririka kuelekea ziwa victoria.

Kimya cha siku hizi mbili ni kutokana na semina ya waandishi wa habari kuzuia uchafuzi wa mazingira wa ziwa Victoria inayoendelea wilayani magu mkoa wa Mwanza hususani eneo la dakio la bonde la mto Simiyu, huku neti inasumbua kweli, naahidi soon kukudondoshea yaliyomo.

Mwandishi wa habari Clara Matomo wa gazeti la habari leo, ambaye ni mmoja kati ya washiriki wa semina hiyo akichukuwa data toka kwa mwezeshaji wa semina hiyo mama Anna Mdamo

Brother Makongo (aliyesimama) akimwaga dit' kwa wanahabari wenzake... Nia ya semina hii ni kuisaidia jamii ifunguke macho kushiriki katika utunzaji wa mazingira kwa nia ya kuokoa raslimali zilizopo ndani ya ziwa.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.