ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, February 16, 2011

HEKA HEKA ZA MWANZA NA GEA HABIB.

Mamaa wa heka heka Gea Habib kazini eneo la kona ya Bwiru : sakata la madreva wa pikipiki kuchoma gari mara baada ya mwenzao kugongwa na gari na kufariki dunia. Kwa muda wa wiki nzima Vipindi vya leo tena, kwaraha zetu na club 10 vinaendelea kusikika LIVE toka 88.1 Mwanza na kusikika kote nchini.

Huyu ndiye Gea mwenyewe.

Meneja wa Vipindi Clouds Radio Sebastian Maganga akitoa maelezo kwa mtangazaji wa Leo tena 'muvi leo' na Take One ya Clouds Tv, hapa ni juu kabisa ya jengo la NSSF Mwanza, juu ya ghorofa ya tisa eneo la Swimming pool.

Mtaa wa Uhuru eneo la Delux.

Walipotembelea Zai Fashion and Botique, Kutoka kushoto ni Mtayarishaji wa leo tena Moonshine, Sebastian Maganga, Mamaa Zai wa Zai Fashion, Zamaradi Mketema na Dina Marious.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.