ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 27, 2011

MFUMUKO WA BEI .

Bei ya vyakula inazidi kupanda kila kukicha huku wafanyabiashara na wananchi wakilalamikia hali hiyo inaongeza ukakasi wa maisha kwa watu wengi.

MFUMUKO WA BEI
-Mafuta ya kula :kwa lita, vibaba au chupa ya Orange
-Sukari
-Ngano

Kama mfumuko utaendelea ile hali kipato cha mwananchi katika usakaji wa ngawira au pengine mshahara unabaki pale pale, hakika wengi watashindwa kumudu maisha.

Wako.
'Mjini pachungu, kijijini pagumu'

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.