WAKATI AFRIKA ILIPOPATA NAFASI KUANDAA KOMBE LA DUNIA HUKU NCHI YA AFRIKA KUSINI IKIWA NDIYO ARDHI TUNUKIWA, SHAKA KUBWA ILIKUWA SUALA LA MAHOTELI, USALAMA NA HOFU YA WENGI UHABA WA VIWANJA BORA VYA KISASA. LAKINI MAMBO HAYA SI SHAKA TENA NYUMBANI KWA MADIBA KWANI KILA KITU KIMEKAMILIKA.
Name: Soccer City Stadium
ENEO LA: Johannesburg
UNACHUKUWA WATU: 94,500
Name: Nelson Mandela Bay Stadium
ENEO LA: Nelson Mandela Bay/Port Elizabeth
UNACHUKUWA WATU: 46,000
Name: Mbombela Stadium
ENEO LA: Nelspruit
UNACHUKUWA WATU: 46,000
JINA: Green Point Stadium
JIJI: Cape Town
UNACHUKUWA WATU: 70,000
Marwan Issa: Marekani yatangaza kuuawa kwa kiongozi wa Hamas Gaza
-
Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani Jake Sullivan alithibitisha
katika taarifa fupi kwamba Naibu Kamanda Mkuu wa Brigedi za Al-Qassam -
tawi la kijes...
1 hour ago