ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Wednesday, December 22, 2010

UTALII MWANZA NA TANAPA.

Karibu ROCK CITY.

Saanane island National park was namen after Mzee Saanane Chawandi who was then the owner of the island. It was established as the first Zoo in Tanzania in 1964. Its main objectives were firstly to promote interest and conservation education in Wildlife, secondly was to promote recreation to the people of Mwanza town. Between 1964 and 1966 different species of Wild animals were ferried to the Island. KARIBU SAANANE ISLAND.

AFRICAN FURNITURE.
Zana hizi za ndani zilizotengenezwa kwa miti huku zikiwa namvuto wakipekee zinapatikana katika ofisi za Tanapa barabara ya kuelekea Hotel Tilapia na Yatch Club Mwanza.

Fuvu la kuro / buck skull.

Fuvu la Tembo / Savanna Elephant skull, life span 67yrs.

Yote haya yamefanyika na kuwa na mwonekano huu mzuri wa kisasa kutokana na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Hifadhi za taifa TANAPA, kukamilisha mchakato wa kuipandisha hadhi hifadhi hii ya kisiwa cha SAANANE iliyoko ndani ya ziwa victoria Jijini Mwanza, kutoka kuwa pori la akiba hadi kuwa Hifadhi kamili.

Kukamilika kwa mchakato huo, kumeiwezesha hifadhi hii kuwa ya kipekee hapa nchini kwa kuvuta idadi kubwa ya watalii wa ndani ambao hadi sasa wanazidi wale wa nje kwa asilimia 90, kwani kila siku hasa za jumapili wabongo wamekuwa wakidondoka katika eneo husika.


MORE PIX.....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.