ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 16, 2010

ILIKUWA CHEREKO CHEREKO HASWAAA..!.. HARUSI YA DR DICKSON NA NYAMIZI.

Hakika ilikuwa siku njema kwa dr. Dicky wa mwanza pale alipofunga pingu za maisha na bi. Nyamizi Mohamed.

Harusi ilifungwa katika kanisa la Nyakahoja jijini mwanza na kisha baadaye sherehe ya kufana kwenye ukumbi wa new mwanza hotel.

Bwana harusi Dr. Dicky akicheki kwa makiniz chuma chake wakati wakishuka kuingia ukumbini toka kwenye mchuma wa wazi.

Makaribisho yalikuwa supa ile hatari, mlangoni ilikuwa unakaribishwa na zawadi toka kwa maharusi, wahudhuriaji nao kama unavyomwona bi dada walipendeza ile mbaya'.

Hapa ni pozi la kufungua sherehe......MMMMMMMMMMMwaaaaaa!! UTEPE UKAKATIKA WENYEWE BILA MKASI.

Prince Baina Kamukulu wa kwanza kushoto akinyatia CHIAzz!

Mr. Gebbo na Ua lake.

Safu ya wanakamati na Maharusi.

Kila la kheri na furaha maishani kwa Dr. Dicky na Bi. Nyamizi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.