ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 10, 2010

FBME BANK LTD KANDA YA ZIWA WATOA SWADAKA KWA YATIMA MWANZA

Wafanyakazi wa bank ya FBME kanda ya ziwa wakiwa pamoja na uongozi wa kituo cha kulea watoto cha Islamic Yatima Foundation kilichopo wilayani Ilemela mkoani Mwanza.

Baadhi ya Swadaka zikikabidhiwa kwa watoto yatima wa kituo cha Ilemel na Joseph Gwalugano na Maulid Tarimo.

Wakiongozwa na meneja wa tawi la Mwanza Bw. Joseph Gwalugano, walikabidhi swadaka yao kwa uongozi wa kituo hicho. Kutoka kulia ni Peter Nkenguye, Rehema Mbalike, Allawi Mdee (Afisa Maendeleo ya Biashara wa tawi) Mkuu wa shule ya msingi, na Joseph Gwalugano (meneja wa tawi ).

Afisa Maendeleo ya Biashara wa tawi hilo akimkabidhi mtoto Osama swadaka ikiwa ni zawadi yakuwa kati ya washindi wa kuhifadhi Quran tukufu kanda ya ziwa.

Annah Lupemba, mmoja wa maafisa wa tawi hilo akikabidhi swadaka kwa watoto hao wa Islamic Yatima Foundation

Wafanyakazi hao wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kukabidhi swadaka zao kwa watoto yatima wa Ilemela – Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.