ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 16, 2010

WANG'ATUKA.


Wabunge, Bw. Paul Kimiti (Sumbawanga Mjini) kushoto na Bw. Chrisant Mzindakaya (Kwela) wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma huku wakipunga mikono kuashiria ukomo wa ubunge wao wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Wabunge wote hao wameshatangaza kutowania tena nafasi hizo baada ya kutumikia kwa muda mrefu.
(Picha na Peter Twite)

GAZETI LA MAJIRA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.