ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, July 1, 2010

TUSHAZOEA.

Kibonzo na NATHAN WA MAJIRA.

NIKAMA ANASEMA:-"OooH Vituo viongezwe! OooH Muda hautoshi!
Haya sasa muda umeongezwa, watu hola!Wasajili tunapigwa dolo.
Ule msongamano hapa kituoni sijui umekwenda wapi? Kwa mpango huu..
We ngaja tu! muda ukikaribia kwisha, wakija kwa wingi kusajili bila buku jero, sisajiri mtu"


SAKATA LA UWANJA HUU WA NYAMAGANA NI KAMA BOMU VILE LINALOSUBIRI MUDA WAKE KULIPUKA.

MAWIO HADI MACHWEO NI JADI KUONA MSONGAMANO HUU KATIKA ATM ZA BENKI YA NMB MWANZA, PPF TOWER.

BARABARA YA KENYATA TAWI JINGINE LIKIWA KWENYE UKARABATI.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.