ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, September 3, 2009

ENEO LA MAKABURI YA MV BUKOBA




HII NDIYO HALI YA SASA YA ENEO LA MAKABURI YA WATU WALIOKUFA MAJI KWENYE AJALI YA MV BUKOBA ILIYOZAMA KWENYE ZIWA VICTORIA TAREHE 21 MEI 1996. SIKU NATEMBELEA ENEO HILI NIKIWA NA ALIYEKUWA MLINZI NA MFANYA USAFI WA MAKABURI HAYA ALIYE SIMAMISHWA KAZI MIAKA KADHAA ILIYOPITA TULIJITOLEA KUSHIRIKI KTK USAFI WA KUNG'OA MAJANI IKIWA NI ISHARA YA SALA KWA NDUGU ZETU WALIOKUFA. KIASI LIKAWA LINATIZAMIKA. SERIKALI YA MKOA MKO WAPI?

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.