Tupe maoni yako
WAJUMBE WA KAMATI YA PIC WATEMBELEA KITUO KIKUU CHA MABASI MSAMVU
-
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji Mitaji ya Umma (PIC),
wakitembelea Kituo Kikuu cha Mabasi Msamvu mkoani Morogoro Machi 27, 2024.
Kit...
24 minutes ago
bora umerudi nilikuwa namiss habari na picha za mwanza si unajua tena huku ughaibuni tuna hamu ya kutaka kujua yanayoendelea nyumbani. Naona saanane inakarabatiwa safi sana ni hifadhi ya pekee tanzania
ReplyDeleteBMK
MDAU WANGU BMK NIMEKUSOMA SANA SANA, ONDOA SHAKA NI MASUALA YA MTANDAO NDO YALIKUWA YAKIZINGUA LAKINI SASA YAKO POA HIVYO KUANZIA TAREHE 1 SEPTEMBER MAJIRA YA MCHANA NGOMA ITAKUWA MDUNDO NYUZI BIN NYUZI. BIG UP MZAZI KWA KUWA MFUATILIAJI INGAWA SIJAJUA UKO MAJUU IPI YA UGHAIBUNI. TEH
ReplyDeleteniko UK mkuu
ReplyDeleteBMK